SIMBA WASAJILI MSHAMBULIAJI MBRAZIL, KUWAONGEZEA NGUVU KAGERE, BOCCO

0
Mabingwa wa soka Tanzania, Simba wameongeza nguvu katika safu yao ya ushambulizi baada ya kumsajili, Wilker Henrique da Silva kutoka nchini Brazil.Wilker amejiunga na...

HAKIKA SIMBA WAMEAMUA, SABA WA KIGENI KUPIGWA CHINI NA WAPYA KUSAJILIWA

0
Klabu ya Simba imepanga kuwatema wachezaji saba wa kigeni ndani ya klabu hiyo, imeelezwa.Wachezaji wanaotajwa ni kiungo Haruna Niyonzima, James Kotea raia wa Ghana,...

HAJI MANARA AWAONEA WIVU YANGA

0
IMEBAINIKA kuwa Simba walikuwa wanawaonea wivu Yanga baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, Jumamosi iliyopita kutangaza kuipa Yanga uwanja...

KUSAJILI WAPYA SAWA, LAKINI KWA JAMES KOTEI MTAKOSEA

0
Na Saleh AllyMABINGWA wa soka Tanzania, Simbawamemchukua mmoja wa viungo bora kabisabarani Afrika, huyu ni Sharaf Eldin Shiboub AliAbdalrahman kutoka nchini Sudan.Sharaf ni raia...

ACHENI KULALAMIKA, UNACHOPATA SASA NI KILE ULICHOPANDA 2018/19

0
NA SALEH ALLYUSAJILI umekuwa ukipamba moto kwa kilaklabu kwa sasa. Kila upande unataka kujiwekavizuri kwa ajili ya msimu ujao.Hili si zoezi geni kutokea katika...

CAF YAMRUHUSU KESSY KUIVAA SENEGAL JUMAPILI

0
Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limemruhusu beki wa timu ya soka ya taifa Taifa Stars, Hassan Kessy,kucheza mchezo wa ufunguzi dhidi ya Senegal, utakaofanyika...

Wanyama; ‘Wanasema Kenya na Tanzania ndio underdogs!, tumebadilika

0
NAHODHA wa Kenya, Victor Wanyama amewaonya wale wote wanaozibeza Harambee Stars na timu ya Taifa ya Tanzania katika kundi la Tatu la...

TAIFA STARS MUDA WA KUTUSUA NI SASA FANYENI KWELI

0
MWENDO wa hesabu kali Kwa sasa ukizingatia kwamba tumekwama kwa muda wa miaka 39 tukishuhudia wengine wakionyesha maajabu yao kwenye michuano mikubwa ya Afcon...

WACHEZAJI SIMBA WAGOMA KISA MPUNGA

0
Baada ya kikosi cha Simba (U20) kupoteza mchezo wa nusu fainali dhidi Mtibwa Sugar katika Ligi Kuu Bara, imeelezwa kuwa wachezaji wa timu hiyo...

ZAHERA ABADILI UPEPO YANGA

0
BOSI wa benchi la ufundi la Yanga, Mwinyi Zahera raia wa DR Congo amewasisitiza viongozi wa timu hiyo kuwapa mikataba mipya kwa haraka wachezaji...