KUMEKUCHA AZAM FC, NDAYIRAGIJE KUANZA NA HILI

0
KOCHA wa Azam FC, Etiene Ndayiragije amesema kuwa anahitaji kuboresha kikosi na hesabu zake ni kwenye kuongeza wachezaji wakali wenye uwezo.Ndayiragije amelamba mkataba wa...

KAKOLANYA AIBUKA NA KALI YA SIKU SIMBA

0
GUMZO la mashabiki ni kwamba Beno Kakolanya anaweza kumuweka benchi Aishi Manula? Amesaini mkataba wa miaka miwili Msimbazi. Lakini ametamka kwamba; “Moto utawaka.”Kakolanya kujiunga...

MCHEZAJI AMBAYE HANA UHAKIKA WA KUONGEZEWA MKATABA AIPA YANGA STRAIKA WA SWEDEN

0
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Amissi Tambwe ameitaka klabu hiyo kumsajili straika wa Mwadui FC, Salum Aiyee kwani anaweza kusaidia lakini imevuja kwamba anakwenda Sweden.Tambwe ambaye...

NDANDA FC WAINGIA ANGA ZA YANGA, AZAM FC KUGOMBANIA SAINI YA NYOTA HUYU

0
IMEELEZWA kuwa uogozi wa Ndanda FC umeingia kwenye harakati za kuinasa saini ya mshambuliaji wa Mwadui FC, Salum Aiyee kama ilivyo kwa Yanga, ili...

HOFU YA NAMUNGO IPO HAPA

0
UONGOZI wa Namungo FC umesema kuwa kwa sasa hesabu zao kubwa ni kuona kwamba timu yao inapata nafasi ya kuleta ushindani wa kweli hivyo...

MFAHAMU MCHEZAJI WA ALGERIA ALIYETUPWA NJE AFCON SABABU YA KUONESHA MAKALI NJE

0
Kocha wa Algeria Djamel Belmadi amethibitisha kuwa amemtema kikosini kiungo mshambuliaji Haris Belkebla kwa utovu wa nidhamu. Kikosi cha Algeria kinaendelea kujifua kwaajili ya...

KAKOLANYA ATOA TAMKO LAKE LA KWANZA BAADA YA KUSAINI SIMBA

0
GUMZO la mashabiki ni kwamba Beno Kakolanya anaweza kumuweka benchi Aishi Manula?Amesaini mkataba wa miaka miwili Msimbazi. Lakini ametamka kwamba; “Moto utawaka.”Kakolanya kujiunga na...

PATRICK GAKUMBA AFUNGUKA JUU YA BALINYA KUTOENDA SIMBA ‘WALIMKATAA’ – VIDEO

0
Meneja wa mchezaji Juma Balinya, Patrick Gakumba akifunguka juu ya mchezaji huyo kushindwa kujiunga na Simba na badala yake aksajiliwa na Yanga.

ULE USAJILI WA KAGERE KUTUA ZAMALEK KWA BILIONI 1.2 ZA KITANZANIA, UKWELI WOTE HUU...

0
Lile suala la Meddie Kagere kutakiwa na Zamalek kwa dau la bilioni 1.2 za kitanzania, ishu nzima ipo namna hii.