BUNJU KUMENOGA, UWANJA WA SIMBA UMEFIKIA HATUA HII

0
MAMBO yanazidi kuwa moto ndani ya Simba ambapo kwa sasa kazi ya uboreshaji wa uwanja wa Bunju inazidi kwenda kwa kasi.Huu hapa ni muonekano...

KOCHA MDOGO AMPA KICHAPO KAKA YAKE NA KUTWAA KOMBE LA AFCON

0
ALIOU Cisse Kocha Mkuu wa Senegal jana aliadhibiwa na mdogo wake waliyepishana siku moja tu kuletwa duniani.Hivvyo kocha mdogo amempa kichapo kaka yeka kisha...

YANGA WAJIPANGA KUWEKA KAMBI NJE YA NCHI BAADA YA DROO YA CAF

0
FRANK Kamugisha, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili na Mashindano ndani ya Yanga amesema kuwa mpango wa kuweka kambi nje ya nchi haujayeyuka kinachosubiriwa ni...

HICHI NDICHO KILICHOMPA SHAVU BILAL ALLIANCE

0
ATHUMAN Bilal ndiye mrithi wa mikoba ya Malale Hamsin aliyekuwa anakinoa kikosi cha Alliance FC.Mwenyekti wa Kamati ya mashindano ya Alliance, Yusuph Budod amesema...

SIMBA: KWA USAJILI HUU NI MWENDO WA MAKOMBE TU

0
NYOTA mpya wa Simba, Ibrahim Ajibu amesema kuwa kwa namna kikosi kilivyo na kambi ya Afrika Kusini ilivyonoga lazima watetee kombe lao na kuleta...

KCCA WAAMBIWA NA AZAM FC DAWA YAO ISHAPATIKANA KESHO WANAKALISHWA

0
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa wapinzani wao KCCA kesho wasahau kuwatungua tena kama walivyofanya kwenye mchezo wa awali tayari dawa yao wameshaipata.Mchezo wa...

MABINGWA WA AFRIKA ALGERIA WANATISHA KINOMA

0
ALGERIA mabingwa wapya wa Afrika wanatisha kwani licha ya wapinzani wao Senegal kutawala mchezo kwa kupiga jumla ya pasi 320 huku wao wakipiga jumla...

NAMUNGO FC, MTIBWA SUGAR, MBAO FC ZAINGIA ANGA ZA MWADUI FC

0
MUSSA Mbissa mlinda mlango wa Mwadui FC amesema kuwa ana ofa ya timu tatu mkononi mwake zikitaka kupata saini yake.Akizungumza na Saleh Jembe, Mbissa...

YANGA: TUNASUKA KIKOSI MATATA

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa wamejipanga kufanya maajabu msimu ujao hivyo watatumia muda huu wa maandalizi kusuka kikosi imara.Akizungumza na Saleh Jembe, Mratibu wa...

MESSI APATWA KIGUGUMIZI KUMZUNGUMZIA ANTONIE

0
LIONEL Messi ni mshambuliaji wa Barcelona na nahodha pia wa kikosi hicho amesema kuwa hana neno juu ya usajili wa nyota mpya Antonie.Messi amesema...