MBAPPE AMKOMALIA NEYMAR AMTAKA ABAKI PSG
MSHAMBULIAJI wa kikosi cha Paris Saint Germain (PSG), Kylian Mbappe amesema kuwa anataka kumuona mchezaji mwenzake Neymar Jr anabaki ndani ya kikosi hicho.Nyota huyo...
MESSI ASIMAMISHWA KUSHIRIKI MICHUANO YA KIMATAIFA MIEZI MITATU
LIONEL Messi, nahodha wa timu ya Taifa ya Argentina amesimamishwa kutoshiriki michuano ya kimataifa Kwa muda wa miezi mitatu.Hatua hiyo imefikia baada ya Messi...
SPOTIPESA SIMBA WIKI IMEPAMBA MOTO DAR MPAKA MWANZA, LEO NI MWENDELEZO
SIMBA wameamua kurejesha kwa jamii, ambapo kuelekea kwenye SpotiPesa Simba Wiki mashabiki wameanza kujitolea kwa jamii.Mashabiki wameanza kujitoa kwa kutoa damu sehemu mbalimbali na...
LEO NI ZAMU YA RUVU SHOOTING KUMENYANA NA AZAM FC
AZAM FC leo inashuka uwanjani kumenyana na kikosi cha Ruvu Shooting.Mchezo huu wa kujipima nguvu utachezwa uwanja wa Chamazi majira ya saa 10:00 jioni.Azam...
SIMBA: KUUJAZA UWANJA WA TAIFA NI JADI YETU, MASHABIKI JADI IENDELEE
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa uongozi wa Simba una imani na mashabiki wake hasa linapokuja suala la kuujaza uwanja wa Taifa...
YANGA: MASHABIKI JITOKEZENI TAIFA MUONE BURUDANI
MSHINDO Msolla, Mwenyekti wa Yanga amewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi siku ya Agosti 4 uwanja wa Taifa kuona namna watakavyotoa burudani.Agosti 4 uwanja wa...
HARRY MAGUIRE KUMALIZANA NA MANCHESTER UNITED MAPEMA KWA MKWANJA MREFU
HARRY Maguire anatajwa kuja kuwa mchezaji ghali duniani baada ya Manchester United kukubali kuweka mzigo wa pauni milioni 85 kukamilisha dili hilo kumchukua kutoka...
NAHODHA STARS: TUTAPAMBANA KUPATA MATOKEO MBELE YA KENYA
JOHN Bocco, nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' amesema kuwa imani kubwa kwa sasa ni kupata matokeo chanya mbele ya Kenya.Stars...
TFF KUZIPIGA PANGA TIMU ZA TPL MSIMU
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeanza mchakato wa kupunguza timu zinazoshiriki ligi kuu Soka Tanzania bara mpaka kufikia timu 16.Kupitia ukurasa maalumu wa Shirikisho...
DANI ALVES ATIMKA MAZIMA PSG
DANI Alves amekamilisha usajili wake wa kujiunga na Sao Paulo baada ya kumaliza mkataba na kikosi cha PSG.Nyota huyo amesaini kandarasi na miamba hao...