KIBABAGE WA MTIBWA SUGAR AMFUATA SIMON MSUVA DIFAA HASSANI EL JADIDA

0
UONGOZI wa timu ya Mtibwa Sugar umesema kuwa mchezaji wao Nickson Clement Kibabage anataraji kujiunga na Difaa Hassani El Jadida msimu ujao 2019/2020.Kibabage ameingia...

YANGA YASHUSHA MASTAA AS VITA DAR

0
YANGA inataka ianze kutesti mitambo yake kuelekea kimataifa na sasa ipo kwenye mazungumzo ya mwisho na klabu kubwa za DR Congo, AS Vita na...

YANGA YASAINI JEMBE LINGINE LA STARS

0
YANGA wabishi balaa! Hili ndiyo neno pekee unaloweza kusema kwa sasa baada ya uongozi wa timu hiyo kufanikiwa kuinasa saini ya mlinda mlango wa...

#NimeisomaHii: Shinda jezi ya timu ya Taifa ya Tanzania

0
Tovuti yetu ina zaidi ya makala/uchambuzi na habari 1,000 za kuvutia, bila kusahau Msimamo, Wafungaji bora, Matokeo na Ratiba, tukielekea katika michuano...

ORODHA KAMILI YA WACHEZAJI AMBAO WAMEMALIZANA NA SIMBA NA WALIPO KWA SASA

0
KWA sasa joto la usajili ndio limepamba moto huku kila timu ikiwa bize kukamiisha usajili wa wachezaji ambao wanawahitaji.Mpaka sasa tayari mabingwa watetezi Simba...

ZAHERA ATOA MASHARTI MAKALI YA USAJILI YANGA

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mkongomani, Mwinyi Zahera ametoa masharti ya usajili wa wachezaji wapya.Yanga hadi hivi sasa imekamilisha usajili wa wachezaji saba ambao ni...

SIMBA SASA NI JEMBE JUU YA JEMBE

0
BODI ya Wakurugenzi ya Simba SC, Company Limited imetangaza rasmi kuanza usajili wa wachezaji wake wapya wakitumia ripoti ya kocha mkuu, Mbelgiji, Patrick Aussems.Hiyo,...

SIMBA WATAJA SIKU YA KUTAMBULISHA MASHINE MPYA

0
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara mara mbili mfululizo Simba, msimu wa 2017/18-na 2018-19 wamepata mualiko wa kucheza mchezo wa kirafiki Juni 21 dhidi Gwambina...

HIVI NDIVYO YANGA WALIVYOWAPA SIMBA UWANJA WA MABWEPANDE

0
RAIS Mstaafu wa Awamu ya nne wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete amesema viongozi wa Serikali hawatakiwi kuegemea katika klabu moja na kukandamiza nyingine kwa...