MATOLA WA LIPULI AIBUKIA POLISI TANZANIA, ASAINI MWAKA MMOJA

0
SELEMAN Matola amepewa kandarasi ya kuinoa timu ya Polisi Tanzania iliyopanda Daraja msimu huu kushiriki Ligi Kuu Bara.Matola ambaye alikuwa kocha wa Lipuli ametambulishwa...

KUMEKUCHA NAMUNGO, WAGOMEA WACHEZAJI WA MAJARIBIO

0
UONGOZI wa Namungo FC umesema kuwa kwa sasa haufikirii kusajili wachezaji wa majaribio na badala yake wanafanya kazi kubwa kusajili wachezaji wenye uwezo wa...

NYOTA WA BARCELONA AISHANGAA STARS, AIPA NAFASI YA KUFANYA MAAJABU AFCON

0
NYOTA wa zamani wa timu ya Barcelona, Chelsea, Inter Milan na timu ya Taifa ya Senegal, Samuel Etoo ameishangaa kuskia Tanzania inashiriki michuano ya...

KUMBE KILICHOMPONZA AIYEE ASIWIKE NI JERSON TEGETE NA KELVIN SABATO

0
MSHAMBULIAJI wa Mwadui FC, Salum Aiyee ambaye ni namba moja kwa wazawa msimu wa 2018/19 kwa kucheka na nyavu akiwa na mabao 18 amesema...

SIMBA MPYA UTAIPENDA, MKENYA AFUNGUKA

0
SIMBA imemalizana na mastaa wawili matata wa kigeni ambao mmoja ni straika na mwingine ni beki wa kushoto atakaemrithi Asante Kwasi.Majina hao pamoja na...

KAMATI MPYA YA USAJILI YANGA NOMA

0
KAMATI ya usajili wa Yanga bado ni siri kubwa na huenda ikatangazwa wikiendi hii lakini Spoti Xtra limenasa majina ya vigogo waliopo.Kwa mujibu wa...

MTIBWA SUGAR WAPANIA KUSUKA KIKOSI CHA USHINDANI

0
UONGOZI wa Mtibwa Suar unesema kuwa msimu ujao wataboresha kikosi na kukifanya kiwe cha ushindani zaidi ya msimu uliomalizaka.Akizungumza na Salehe Jembe, Ofisa Habari...
Uchaguzi Mkuu Simba

SIMBA WAAMUA KUIIGA YANGA KWA JAMBO HILI

0
Klabu ya Simba imetangaza rasmi kuandaa mchakato wa kupata wimbo wake maalum kwaajili ya mashabiki kama sehemu ya kuongeza hamasa.Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo...