KASEJA, YONDANI KUIONGOZA KAMBI STARS – VIDEO
Kipa Mkongwe wa Tanzania na klabu mbalimbali vya Ligi kuu Tanzania Bara Juma Kaseja ameitwa katika kikosi cha timu ya Taifa kwa mara ya...
WALIOKATAA FEDHA ZA UWOYA GLOBAL WAPEWA KITITA
UONGOZI wa Global Publishers umewapongeza kwa kuwapa kitita cha fedha wanahabari wake, Imelda Mtema na Hillary Daudi, kwa kuonesha weledi wa kutogombea fedha wakati...
HILI NDILO KUNDI LA TANZANIA KUFUZU AFCON CAMEROON 2021
Timu ya Taifa ya Tanzania imeanzia hatua ya makundi ya kuwania kufuzu Fainali ya Mataifa ya Afrika mwaka 2021 itakayofanyika nchini Cameroon.Tanzania imepangwa kundi...
NYOTA WANNE WA SIMBA WATUA AFRIKA KUSINI, WAANZA KAZI RASMI
TAYARI nyota wanne wa Simba ambao walikuwa wamekwama kukwea pipa na kujiunga na timu nchini Afrika Kusini wameshatia timu na leo wamefanya mazoezi na...
AZAM FC: KESHO HAO MANYEMA WANAKAA
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa kesho watapambana kuwakalisha wapinzani wao Manyema FC kwenye mchezo wa nusu fainali kombe la Kagame.Akizungumza...
VYAMA VYA MIKOA, TFF TUWEKEENI MAZINGIRA RAFIKI KWA MCHEZO WA SOKA
Na Dominick SalambaMiaka ile ya 1990, enzi za ujana wetu kipindi cha ujana wetu wakati muziki kutoka Kongo ukitamalaki katika nchi yetu zama zile...
MBIO ZA BAISKELI NDANI YA MAJIMAJI SELEBUKA NI MOTOOOO
Na Mwandishi Wetu, SongeaHuku mbio za baiskeli kwa afya katika Tamasha la Majimaji Selebuka linaloendelea mjini hapa zikitarajiwa kurindima kesho Jumamosi, joto limeanza kupanda...
AJIBU AKIONA CHA MOTO SAUZI
AKIWA Rustenburg, Afrika Kusini kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Ibrahim Ajibu na Francis Kahata wamekiona cha moto ni baada ya Kocha Mbelgiji, Patrick Aussems...
YANGA YATANGAZA MECHI NNE ZA MAAJABU
YANGA imetangaza kwamba mwezi Agosti na Septemba watakuwa na mechi nne za kuonyesha ubora wao Afrika lakini hapa kambini pamenoga. Ligi ya Mabingwa Afrika...