BARCELONA WAIKANA TUHUMA YA KUMSAJILI KIBABE GRIEZMANN
BARCELONA imejitetea kuwa hawajafanya kosa lolote kumsajili nyota wa Atletico Madrid, Antoine Griezmann.Rais wa Barcelona, Josp Maria Bartomeu amedai kuwa Atletico Madrid hawana ushahidi...
KOCHA STARS ATAJA KILICHOWAZUIA KUPATA USHINDI MBELE YA KENYA
ETTIENE Ndayiragije, Kaimu Kocha wa timu ya Tanzania 'Taifa Stars' amesema kuwa sare waliyoipata imetokana na kushindwa kutumia nafasi walizozipata hivyo ni muda wa...
ZAHERA ATAJA HATMA YA YONDANI NDANI YA YANGA
KOCHA wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa beki wa kikosi hicho Kelvin Yondan hawezi kugoma kama ambavyo inadaiwa hivyo atajiunga ndani ya kikosi hicho...
HAZARD AMTABIRIA MAKUBWA NYOTA MPYA WA CHELSEA
EDEN Hazard nyota mpya wa Real Madrid amemtabiria makubwa winga mpya wa Chelsea, Christain Pulisic kuwa atafanya makubwa kwenye medani za soka. "Ni mchezaji mzuri...
LIVERPOOL: TUNA MECHI NYINGI MSIMU UJAO LAZIMA TUFANYE KWELI
JURGEN Klopp, Meneja wa Liverpool amesema kuwa msimu ujao wana kazi ngumu ya kufanya ili kuweka rekodi mpya zaidi ya msimu uliopita.Kwa msimu wa...
YANGA YATUMIA MILIONI KUBORESHA HOSPITALI YA MWANANYAMALA
TAWI la nguvu ya Buku la Yanga lenye makazi yake Mwananyamala jana limekabidhi msaada wa ukarabati wa Wodi ya Wanaume no.5 waliokuwa wakifanya kwa...
YANGA WACHEKELEA UJIO WA ZAHERA,, MBELGIJI AIPA YANGA SIRI ZA USHINDI, KESHO CHAMPIONI JUMATATU
ISHU ya Kambi ya Simba Afrika Kusini na habari kuhusu timu ya Taifa ya Tanzania zote ndani bila kusahau kambi ya Yanga, Morogogo ni...
YANGA WAZIDI KUNOGA WAMALIZA KAZI NA MAWEZI MARKET KWA KUICHAPA BAO 1-0
ISSA Bigirimana mshambuliaji wa Yanga leo ameibuka shujaa wa mchezo wa kirafiki kati ya Yanga na Mawezi Market baada ya kufunga bao pekee la...
STARS SASA KAZI KUHAMIA KENYA KUTAFUTA NAFASI YA KUFUZU CHAN
KIKOSI cha timu ya Tanzania 'Taifa Stars' leo kimelazimisha sare ya bila ya kufungana na timu ya Taifa ya Kenya kwenye mchezo wa kwanza...