LIVE: TANZANIA 0-0 KENYA
MCHEZO unaoendelea kwa sasa uwanja wa Taifa ni kati ya Tanzania na Kenya.Kipindi cha kwanza hakuna ambaye ameona lango la mpinzani wake, ushindani ni...
MWINYI ZAHERA ATIA TIMU KAMBINI MOROGORO, SHANGWE KAMA LOTE
MWINYI Zahera Kocha Mkuu wa Yanga leo amewasili kambini Morogoro na kupokelewa kwa shangwe za kutosha na mashabiki wa mkoani Morogoro.Zahera amerejea akitokea nchini...
KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA KIAKACHOANZA LEO DHIDI YA KENYA, UWANJA WA TAIFA
JESHI zima la timu ya Taifa leo uwanja wa Taifa dhidi ya Kenya1.Juma Kaseja2.Paul Godfery3,Gadiel Michael4.Erasto Nyoni5.Kelvin Yondan6.Jonas Mkude7.Hassan Dilunga8.Salum Abobakar9.John Bocco10.Ayubu Lyanga11.Idd SemanAkiba12.Metacha...
NYOTA WA YANGA AMALIZANA NA ALLIANCE FC
JERSON Tegete nyota wa zamani wa kikosi cha Yanga na Kagera Sugar msimu ujao atakuwa ndani ya uzi wa Alliance FC ya Mwanza.Uongozi wa...
SERGIO ARGUERO ANA REKODI TAMU NDANI YA MANCHESTER CITY
SERGIO Arguero,mshambuliaji wa Manchester City alijiunga na klabu hiyo Julai 28, 2011 akitokea Altletico Madrid na rekodi yake ni tamu.Mpaka sasa amecheza jumla ya...
CHELSEA KULA SAHANI MOJA NA MANCHESTER CITY
FRANK Lampard, meneja wa Chelsea amesema kuwa msimu ujao lazima ale sahani moja na Manchester City pamoja na Liverpool.Lampard amebeba mikoba ya Maurizio Sarri...
KLABU TAJIRI YA CHINA YAMPA AHADI YA MSHAHARA MZITO GARETH BALE WA MADRID
GARETH Bale ni bonge la dili nchini China licha ya Meneja wake Zinadine Zidane kumwambia wazi kwamba ni lazima aondoke ndani ya kikosi hicho.Mshambuliaji...
FIFA KUMPA TUZO YA HESHIMA NYOTA WA ZAMANI WA TIMU YA TAIFA YA CAMEROON
ALBERT Roger Mooh Milla, Septemba 7 atapewa tuzo na Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) kwa kufunga bao akiwa na miaka 42.Mpaka sasa imeshapita miaka...
NDAYIRAGIJE:KIKOSI KIPO TAYARI KWA USHINDI LEO
ETTIENE Ndayiragije, Kaimu Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania amesema kuwa kazi leo ni moja kupata matokeo chanya mbele ya Kenya ili kufuzu...