Trending Stories
View All
HUKO SIMBA NAKO PA MOTO BALAAH….MASHINE HII YA MAGOLI KUTOKA COLOMBIA KUTUA TZ MUDA WOWOTE..
IMEELEZWA kuwa Simba muda wowote watakamilisha usajili wa mshambuliaji wa Klabu ya Comerciantes FC, Mauricio Cortes raia wa Colombia. Simba…
RASMIII….OKRAH AKUNJA MIWILI YANGA….MKWANJA ATAKAOCHUMA NI KUFRU TUPU ….
YAMETIMIA! Winga wa zamani wa Simba, Augustine Okrah sasa ni Mwananchi. Mghana huyo anakuwa mchezaji wa pili kusajiliwa na Yanga…
MCONGO MWINGINE ANAYETAJWA KUTUA YANGA HUYU HAPA…..’DOGO’ NI BALAA TUPU AISEE…
KLABU ya Union Maniema imenogewa na biashara na Yanga na sasa iko kwenye hatua za mwisho kumwachia winga fundi ambaye…
KISA CHAMA NA PHIRI WABAKI AU WASEPE…..NYUMA YA PAZIA KWA MABOSI WA SIMBA HALI IKO HIVI…
Wachezaji kutoka Zambia Clatous Chama na Mose Phiri wameonekana kuipasua Simba SC, kwa baadhi viongozi kutaka waendelee kuwapo klabuni huku…
HIKI HAPA WALICHOPANGA KUKIFANYA SIMBA KWENYE UWANJA MPYA WA AMANI ZNZ….
Wakati wakitarajiwa kuondoka leo Jumapili (Desemba 31) kuelekea visiwani Zanzibar kwenye michuano ya Mapinduzi Cup, Wekundu wa Msimbazi ‘Simba SC’…
MWENDA:- “NILIKUWA NAJIONA KAMA MTUMISHI HEWA SIMBA”….AMTAJA KAPOMBE TENA..
Beki wa Simba SC, Israel Mwenda amesema ujo wa Kocha mpya kutoka nchini Morocco Abdelhak Benchikha umemfanya ajihisi amezaliwa upya…
KWA NINI UNUNUE Infinix HOT 40 Pro DHIDI YA SAMSUNG GALAXY A14…JIBU LA KIUFUNDI HILI HAPA..
Ikiwa unatafuta simu mpya ya bajeti, una chaguzi nyingi za kuzingatia. Infinix Hot 40 Pro na Samsung Galaxy A14 ni…
WAKATI USAJILI UKIZIDI KUSHIKA….YAO KOUASSI AIBUKA NA HILI JIPYA YANGA….
Beki wa pembeni kutoka nchini Ivory Coast anayeshika nafasi ya pili kwa asisti katika Ligi Kuu Bara, Yao Kouassi nyuma…
UNAAMBIWA ‘MOVE’ YA OKRAH KWENDA YANGA KUMBE ILIANZIA HIVI….UKWELI WOTE HUU HAPA..
Uongozi wa Klabu Bingwa Tanzania Bara Young Africans umesema ulimfuatilia winga wa Ghana, Augustine Okrah na kuona anafaa kwenye kikosi…
MASTAA SIMBA WAPEWA UHAKIKA MAPINDUZI CUP….BENCHIKHA KULA SAHANI MOJA NA HAWA…
Wakati kikosi cha Simba Sc kikijiandaa na safari ya kuelekea visiwani Zanzibar, tayari kwa michuano ya Kombe la Mapinduzi 2024,…
WAKATI LA CHAMA LIKIWA LA MOTO….NTIBAZONKIZA NAYE AWAVIMBIA MABOSI SIMBA…ISHU HII HAPA…
Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Burundi Saidi Ntibanzokiza ‘Saido’ amegomea mkataba wa mwaka mmoja, huku akiutaka Uongozi wa Simba SC kumpa…
FUNGA MWAKA KIBINGWA KWA ‘FUBA’ LA MIL 200 KUTOKA MERIDIANBET…ODDS ZA LEO HIZI HAPA…
Michezo mbalimbali itakwenda kupigwa leo kunako ligi kuu ya Uingereza ambapo kupitia michezo hiyo watu wana nafasi kubwa ya kuipendezesha…
KUELEKEA AFCON ….WAZIRI WA MICHEZO ATAJA WACHEZAJI WAKUTUMIKA TAIFA STARS….
WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Damas Ndumbaro amewataka wadau wa Soka nchini kumuacha kocha Mkuu wa Taifa Stars,…
ZAHERA HUYU HAPA AMETUA NAMUNGO
Klabu ya Namungo imemtambulisha Mwinyi Zahera kuwa kocha mkuu wa timu hiyo. Namungo kutokea mkoani Lindi ilikuwa inanolewa na kocha…
SINGIDA FG WAMUANDHIBU FEI TOTO…. SIO POA
Klabu ya Singida Fontaine Gate imewaadhibu vinara wa Ligi Kuu Zanzibar, JKU FC ya Zanzibar jumla ya magoli 4-1 katika…
MWAMBA KAGOMA KUSEPA NANI ATOKE SIMBA !?
Klabu ya Simba kwenye dirisha hili la usajili inahitaji kufanya maboresho kwa kufanya maingizo ya nyota wapya wa kigeni watakaokuja…