Tag: HABAR ZA MICHEZO
KUELEKEA KARIAKOO DABI….BOSI YANGA AFUNGUKA SIRI HII…BAADA YA KUTUA DAR
Baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam kutokea Mwanza katika pambano lao dhidi ya Singida Fountain Gate,...
NINJA AFUNGUKA A-Z ISHU YA FEI TOTO…KUMBE ALIMCHANA KIONGOZI YANGA…AMPIGIA SALUTI...
BEKI wa Lubumbashi Sport ya DR Congo, Mtanzania Abdallah Shaibu 'Ninja' kuna jambo amejifunza kutokana na kupata nafasi ya kucheza nje kwa awamu mbili...
ISHU NZIMA YA BENO KAKOLANYA IPO HIVI…UONGOZI SINGIDA FG WATEMA CHECHE…KOCHA...
BAADA ya taarifa za nahodha wa Singida Fountain Gate, Beno Kakolanya kutoweka kambini saa chache kabla ya mchezo
dhidi ya Yanga katika Uwanja wa CCM...
GAMONDI ATAMBA KUICHAKAZA ASAS KESHO, HUKU AKIJITETEA HIVI
Kesho Agosti 20 katika Uwanja wa Azam Complex utachezwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa barani Afrika mchezo utakaowakutanisha mabingwa wa Ligi ya Djibouti ASAS...
GAMONDI AWAFANYIA SIMBA UMAFIA KIMYA KIMYA
WAKATI Simba ikipambana dhidi ya Singida Fountain Gate jukwaani kulikuwa na ugeni wa watu wanne wakiwasoma ambao uwepo wao hapo hauna habari njema kwa...