Steve Barker Aanza Kazi Simba SC: Afanya Mabadiliko Makubwa Ushambuliaji Baada ya Kipigo cha Yanga
Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, ameanza rasmi kufanyia kazi safu yake ya ushambuliaji kufuatia changamoto ya kushindwa kutengeneza nafasi za kutosha za mabao…