Tag: Simba SC
AZIZ KI AWEKA REKODI MPYA YANGA…CHAMA AANGUKIA PUA SIMBA…ISHU NZIMA IKO...
Stephane Aziz Ki amefunga mabao 4 katika Nbc Premier League tangu ulipoanza mwaka 2023, ni wachezaji wawili pekee waliofunga mabao mengi kuliko yeye kuanzia...
KOCHA SIMBA SC AWAPUUZA WYDAD CA…”NAWAJUA HAWASUMBUI…AMEZUNGUMZA HAYA
Kocha Mkuu wa Simba, Mbrazil Robert Oliveira 'Robertinho' amefunguka kuwa licha ya kuwajua wapinzani wake katika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa...
KIBADENI AWACHANA MASTAA WAZAWA SIMBA…”HAMFUNGI MNAJUA KUSHANGILIA TU
Mara ya mwisho kwa wachezaji wazawa wa Simba kufunga kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara ni Desemba 30, mwaka jana kwenye ushindi wa mabao...
KUELEKEA MECHI YA SIMBA NA YANGA…HAWA HAPA MAREFA WA MCHEZO HUO
WAKATI homa ya pambano la watani wa jadi ikianza kupanda kabla ya timu hizo kuvaana Jumapili ya wiki hii, SOKA LA BONGO limenasa faili...
MECHI YA SIMBA NA YANGA MCHEZAJI AFARIKI UWANJANI…TUKIO HILI LINASIKITISHA SANA!
Chama cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Songwe (SODIFA) kimetangaza kifo cha mchezaji wa timu ya Saza FC, Albat Andrea aliyefariki baada ya kugongana...
KOCHA SIMBA AMPIGA KO NABI…BALEKE AMCHAKAZA MAYELE VIBAYA MNO
Straika Jean Baleke, kocha mkuu wa Simba, Roberto Oliveria 'Robertinho' na Meneja wa uwanja wa Highland Estate, Malule Omary wamekabidhiwa tuzo zao za mwezi...
VITA YA IHEFU NA BALEKE YAKOSA MWAMUZI…ISHU NZIMA IKO HIVI
Mshambuliaji Mkongo, Jean Toria Baleke Othos ametumia dakika
nane za mwisho kuifungia Simba SC mabao yote ikiibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Ihefu SC...
YANGA YAIPASUA KICHWA SIMBA…YAFANYIWA FIGISU KUBADILISHIWA UWANJA
Dar es salaam April 10, 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya leo Tanzania
SIMBA ACHENI KUMKANDAMIZA MZAMIRU…ALIPWA MSHAHARA MDOGO KULIKO SAWADOGO
Achana zile Assist za Clatous Chama acha na ile mikimbio na press za Ntibazonkiza acha na zile Hat trick za Beleke ila pale Simba...
SIMBA YATELEKEZWA NA MASHABIKI WAKE MECHI NA IHEFU…MAMA NTILIE WAGEUKA MASHABIKI
Pamoja na milango kufunguliwa mapema lakini bado idadi ya mashabiki waliofika uwanjani kishuhudia mchezo wa Ihefu na Simba ni ndogo.
'Tangu saa 5 asubuhi milango...