Home Tags Soka la bongo

Tag: soka la bongo

KIVUMBI LEO BENCHIKHA AINGIA KATIKA MTIHANI MWINGINE

0
Simba inarudi tena uwanjani jioni ya leo Ijumaa dhidi ya Kagera Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Bara, ikiwa na kumbukumbu mbaya ya kutoonja...

CHEZA KASINO MERIDIAN BET UPATE MGAO WA TSH BIL 2

0
Kama wewe ni mchezaji wa kasino ya mtandaoni basi msimu huu wa Sikukuu Meridianbet haitakua kinyonge, ni lazima ufunge mwaka kwa mizawadi kibao na...

KIVUMBI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO

0
Leo Jumatano katika ligi ya mabingwa barani ulaya ni kivumbi kwani itapigwa michezo kadhaa ya kibabe ya hatua ya makundi ambayo itakua ndio michezo...

GAMONDI AJA NA MBINU HIZI KUELEKEA ROBO FAINALI

0
Wakati Kocha Mkuu wa Yanga, akianika mikakati yake kuelekea mechi mbili za nyumbani za Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Medeama FC na CR...

HUYU HAPA MSAIDIZI WA AUCHO YANGA

0
Klabu ya Yanga imefungua mazungumzo na kiungo mkabaji Bonaventure Fonseca anayekipiga Teungueth Fc ya Senegal. Mazungumzo ya awali yamefanyika na mchezaji amevutiwa na uhamisho huo....

UNAAMBIWA MASTAA HAWA WATATU TU NDIO WAMEMKOSHA BENCHIKHA

0
Viungo watatu wa Simba, Sadio Kanoute, Fabrice Ngoma na Mzamiru Yassin wamemwagiwa sifa na kocha mkuu wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha. Kama ambavyo kocha aliyepita...

SIMBA KUWATUMIA KAGERA SUGAR KAMA DARAJA LIGI KUU, UONGOZI WAFUNGUKA HAYA

0
Ahmed Ally ambaye ni Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, amesema wanahitaji 'ufufuo' kupitia Kagera Sugar Ijumaa hii katika mechi ya Ligi...

KATWILA AFUNGUKA KUHUSU MCHEZO WA YANGA

0
Baada ya kuipa Ihefu FC pointi tatu dhidi ya Yanga, kabla hajatupiwa virago kocha mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuberi Katwila amesema hana presha na...

YANGA SASA FRESH

0
Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) limeiondolea klabu ya Yanga adhabu ya kufungiwa kusajili wachezaji baada ya kumlipa mchezaji Gael Bigirimana. Bigiramana alikuwa mchezaji wa...

UONGOZI SIMBA WAFURAHISHWA NA MABADILIKO HAYA YALIYOFANYWA NA BENCHIKHA

0
AHMED Ally ambaye ni Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, amefurahishwa na mabadiliko ya muda mfupi ya kikosi chao ikiwa ni siku chache...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS