Tag: soka la bongo
KISA LUSAJO VIONGOZI WAHAHA NAMUNGO
Wakati dirisha dogo la usajili nchini likiendelea kwa timu kuboresha vikosi vyao, Namungo imesema inahitaji straika mmoja tu atakayekuwa mwarobaini wa mabao kikosini.
Namungo iliyopo...
KUMBE AZIZI KI HANA HAJA NA KIATU LIGI KUU…… MWENYEWE AFUNGUKA...
KIUNGO Mshambulijai wa Yanga, Stephane Azizi Ki amesema kuwa licha ya kuwa kinara katika mbio za ufungaji bora wa Ligi Kuu Bara lakini hafikirii...
KOMBE LA DUNIA YA VILABU SIMBA NDANI…. FIFA YATOA TAMKO HILI
Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA) leo limetaja timu ambazo zipo katika nafasi ya kuweza kuwania kucheza Fainali za Kombe la Dunia kwa Vilabu 2025.
Tanzania...
SIMBA, YANGA WATULIZA VICHWA KIMATAIFA…… ISHU HII NDIO UMIZA KICHWA
Mabosi wa klabu kongwe nchini, Simba na Yanga wanaendelea kukuna vichwa juu ya kuchagua viwanja gani vya kutumika kwenye mechi zao za mwisho za...
SERIKALI YAPIGA KWENYE MSHONO UWANJA WA UHURU
Serikali imevifunga viwanja vya Benjamin Mkapa na Uhuru, Dar es salaam mpaka hapo ukarabati utakapokamilika Oktoba 2024.
Taarifa ya serikali imekuja baada ya Shirikisho la...
AHMED ALLY AMJIBU KIBABE ALLY KAMWE
Kutoka kwa semaji la CAF, Ahmed Ally….
Kwenye sanaa ya Mawasiliano hakuna katika nyie anaweza kunifikia hata robo ndo maana nyie mkaajiriwa 10 kwenye idara...
ALLY KAMWE, AHMED ALLY WAVAANA KISA HIKI HAPA
Ally kamwe ameijia juu Interview ya Ahmedy Ally aliyoifanya jana baada ya Simba kupata Sare dhidi ya Kmc akisema wachezaji wao hawajitumi. Kupitia Instagram...
UKWELI WOTE UKO HIVI SAKATA LA CHAMA….. PHIRI NAE AJA NA...
Benchi jipya la ufundi la Simba chini ya Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha limedhamiria kufanya mambo makubwa mawili ili kuendeleza heshima iliyoijenga timu hiyo pamoja...
SIMBA KUSHUSHA WAMBA HAWA WANNE KUZIBA MAPENGO
Uongozi wa Simba SC umesema umetenga fungu la kutosha kwa ajili ya kufanya usajili wa nguvu kwenye dirisha dogo ambalo linmefunguliwa wiki iliyopita.
Katika dirisha...
YANGA FUNGA MWAKA INAFANYIKA HIVI
Bingwa mtetezi Yanga bado anaendelea na safari yake akitaka kutetea taji lake la tatu mfululizo la Ligi Kuu Bara baada ya kushinda mchezo wake...