Tag: soka
KUELEKEA DABI YA KARIAKOO SIMBA WALAMBA DILI HILI LA KIBABE
Katika kuelekea mchezo wao wa Dabi dhidi ya Yanga SC, Wekundu wa Msimbazi Simba SC, wameingia mkataba wa Bil. 1.5 na Kampuni ya Serengeti...
AZIZ KI AWAPA KITETE SIMBA KUELEKEA DABI YA KARAKOO
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga ambaye yupo kwenye kiwango bora hivi sasa, Stephane Aziz Ki, amesema amejiandaa kucheza kwa kupaniwa katika Kariakoo Dabi, huku akibainisha...
KUHUSU ISHU YA SKUDU KUSUGUA BENCHI ISHU KAMILI IKO HIVI
Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Afrika Kusini Skudu Makudubela, ameweka wazi kuwa, hana tatizo lolote na Benchi la ufundi la Young Africans linaloongozwa na Kocha...
REKODI HIZI ZA ROBERTINHO, GAMONDI HANA
Kocha Mbrazil wa Simba, Robertinho hajapoteza mchezo wowote msimu huu akiwa na Simba SC, Ligi kuu ameshinda michezo yote sita.
Katika Michuano ya AFL ametoa...
AFL KUTIMUA VUMBI MWEZI HUU WABABE HAWA KUKUTANA
Baada ya Simba, TP Mazembe, Enyimba na Petro de Luanda kutolewa kwenye michuano mipya ya African Football League, Juzi vigogo wanne waliobaki walicheza mechi...
SHABIKI WA YANGA ALIYEPOKEA KIPIGO NA MASHABIKI WA SIMBA AFUNGUKA TUKIO...
Jumamosi ya Oktoba 28 Timu ya Simba ilikuwa wenyeji wa Ihefu katika Uwanja wa Mkapa mchezo wa Ligi Kuu Bara.
Mchezo huo uliokuwa na vuta...
KUELEKEA DABI YA KARIAKOO MASTAA HAWA SIMBA SASA NI MTEGO
Simba ipo kambini ikijifua na mechi ijayo ya Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga lakini mastaa wawili wa Mnyama, washambuliaji Moses Phiri na Luis Miquissone...
HUKO AZAM SIO POA UNAAMBIWA MASTAA HAWAMTAKI KOCHA…….HUKU MABOSI NAO WAZIBA...
Hatimaye jinamizi la makocha kukataliwa na wachezaji wa Azam FC limeibuka tena kama ambavyo hutokea kila mwaka.
Katika umri wake wa miaka 15 kwenye Ligi...
MASTAA HAWA UANGA WAITAMANI SIMBA KUFA KUPONA DABI YA KARIAKOO
Wakati kiungo mshambuliaji wa Yanga kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Maxi Nzengeli akisema anajisikia furaha kuona mabao aliyofunga katika mechi ya Ligi...
HIYO DABI YA KARAKOO SIO POA MAXI APEWA GARI MAPEMA
Yanga iko kambini kwaajili ya maandalizi ya kukutana na watani wao wa jadi Simba, kiungo wao Maxi Nzengeli amepata mzuka wa aina yake haswa...