KOCHA STARS:TUNAKWENDA KUPINDUA MEZA KIBABE KENYA

0
ETTIENE Ndayiragije Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' amesema kuwa sare waliyoipata sio mbaya wanakwenda kupindua meza nchini Kenya.Stras...

YANGA: KWA KIKOSI HIKI, MSIMU UJAO TUTAKUWA JUU ZAIDI

0
MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa ameona namna wachezaji wake wanavyocheza na kujituma hivyo ana imani msimu ujao watakuwa juu zaidi ya...

MAPILATO WA AZAM FC KIMATAIFA HAWA HAPA

0
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limechagua waamuzi kutoka nchini Sudan kuchezesha nchezo wa raundi ya awali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Azam...

FRIENDS RANGERS YAKUBALI MUZIKI WA YANGA, SIBOMANA APEWA SALUTI

0
ELLY Mzozo, Kocha Mkuu wa kikosi cha Friends Ranger ya Morogoro amesema kuwa wachezaji wa Yanga wana ukomavu mkubwa na msimu ujao wataleta ushindani.Friends...

AZAM FC KAMILI GADO KUWAVAA WAETHIOPIA KIMATAIFA

0
KIKOSI cha Azam FC kimeendelea na maandalizi ya kukata na shoka kwa ajili ya michuano ya kimataifa pamoja na Ligi Kuu Bara.Azam FC ambao...

ABDI BANDA AACHANA NA BAROKA FC

0
ABDI Banda beki wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga soka la kulipwa Baroka FC ya Afrika Kusini amewaaga mashabiki wake na timu.Kupitia kwenye...

ZAHERA BALAA AFUNGA USAJILI NA KIFAA HIKI, HATMA YA OKWI NDANI YA SIMBA NI...

0
BALAA la Zahera ndani ya Yanga na ishu ya Emmanuel Okwi ndani ya Simba habari kamili ni kesho ndani ya CHAMPIONI Jumatano.

TFF: KESHO TUNAFUNGA JUMLA ZOEZI LA USAJILI

0
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa kesho ndio mwisho wa usajili kwa wachezaji wa ndani.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa TFF, Clifford...

PATRICE EVRA, NYOTA WA ZAMANI WA MANCHESTER UNITED ATUNDIKA DALUGA

0
Beki wa kushoto wa Manchester United na Ufaransa Patrice Evra ametangaza rasmi kustaafu soka la ushindani..Beki huyo mwenye miaka 38 aliichezea Ufaransa jumla ya...

NAHODHA STARS: WALILAZIMISHA SARE KWETU NASI TUNAKWENDA KUSHINDA KWAO

0
JUMA Kaseja, nahodha msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania amesema kuwa nafasi ya kushinda kwa timu nchini Kenya ipo kikubwa ni sapoti kutoka...