SALIM Aiyee mshambuliaji mpya wa kikosi cha KMC ameanza kwa kucheka na nyavu baada ya kufunga bao kwenye mchezo wake wa kwanza wa michuano ya kombe la Kagame.
Leo KMC wamelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Atlabara ya Sudan Kusini.
Aiyee alianza kupachika bao hilo dakika ya 46 kabla ya wapinzani wao Atlabara kusawazisha bao dakika ya 67.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.