USIKU wa kuamkia leo klabu ya Yanga imeshusha mashine mpya kwa ajili ya kukamilisha usajili wake wa mwisho kabla ya dirisha la usajili halijafungwa leo.
Mchezaji huyo ambaye ni mwili jumba inaelezwa kuwa amekuja kuchukua nafasi ya mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Heritier Makambo ambaye amejiunga na Horoya AC.
Mwinyi Zahera alisema kuwa nafasi iliyobaki ndani ya kikosi hicho ni ya mshambuliaji.
Jina lake anaitwa David Muringe ametokea klabu ya FC Lupopo pia amewahi kucheza soka la kulipwa nchini Angola msimu uliopita alitupia mabao 14 katika mechi 16 alizocheza.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.