Kipa Mkongwe wa Tanzania na klabu mbalimbali vya Ligi kuu Tanzania Bara Juma Kaseja ameitwa katika kikosi cha timu ya Taifa kwa mara ya pili tokea kipindi cha aliyewhi kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa, Maxmo.
Hii inakuja baada ya kocha Etiene Dailangije kuchukua mikoba ya ya Emmanuel Amunike ambaye alikuwa akikinoa kikosi hicho, ambaye hata hivo anakinoa kikosi cha timu ya Azam FC ya Jijini Dar es Salaam.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.