Home Uncategorized MBWANA SAMATTA MAMBO NI MOTO, OFA TATU ZA MAANA ENGLAND

MBWANA SAMATTA MAMBO NI MOTO, OFA TATU ZA MAANA ENGLAND

IMEELEZWA kuwa nyota wa kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ambaye pia ni nahodha, Mbwana Samatta amekuwa dhahabu kwa timu za Ligi Kuu England zikiitaka saini yake.

Mpaka sasa tayari imeelezwa kuna ofa tatu mkononi mwake kwa timu kubwa za England.

Timu hizo ni pamoja na Westham United, Leicester City na Everton ambazo zinahitaji kumpata mfumania nyavu namba moja ndani ya klabu yake ya KRC Genk.

SOMA NA HII  MWANA WA UBUNGO ALIYEIBUKA NA SH MILIONI 400 NA USHEE ZA SPORTPESA, MCHEZO MZIMA HUU HAPA...