UWANJA wa Taifa kwa sasa mchezo unaoendelea ni kati ya Simba dhidi ya Azam FC.
Huu ni mchezo wa ngao ya Jamii, Simba inaongoza kwa mabao 2-1.
Yote yamefungwa na Shibob dakika ya 17 na 21 huku lile la Azam FC likifungwa na Idd Chilunda.
Azam FC walianza kuandika bao moja matata sana kupitia kwa Idd Chilunda dakika ya 13 kabla ya Shibob kusawazisha kwa kichwa dakika ya 16 kwa upande wa Simba.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.