MBWANA Samatta, nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania leo ameacha swali kwa wadau mna mashabiki wake kwenye ukurasa wake wa Instagram akihitaji wamtabirie ni jibu gani amejibu.
Samatta ambaye kwa sasa anakipiga KRC Genk ya Ubelgiji ambao ni mabingwa watetezi ameandika namna hii:
“Nilikuwa na mahojiano mazuri leo na radio GRK, nikijibu maswali ya mashabiki mtandaoni, kuna swali niliulizwa, kati ya KRC Genk kuchukua kombe la Champion League au Tanzania kucheza World Cup kipi utachagua, unadhani nilichagua kipi?
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.