HARUNA Niyonzima, kiungo myumbulifu ambaye amechezea timu za Simba na Yanga amesema kuwa leo kazi ni moja tu kutafuta ushindi mbele ya KMC.
KMC leo itatupa karata yao ya kwanza kwenye mchezo wa kimataifa dhidi ya AS Kigali kwenye kombe a Shirikisho Afrika kabla ya kureajeana na wapinzani wao kati ya Agosti 23-25.
Niyonzima kwa sasa ni mali ya AS Kigali baada ya kumalizana na Simba amesema watapambana kupata matokeo.
“Ni mchezo mgumu kwetu na ninatambua kwamba KMC ni moja ya timu bora kwenye ligi ya Bongo ila hilo halitupi mashaka kwani nasi pia tupo vizuri tutaonyesha kitu cha kipekee,” amesema kiungo huyo kipenzi cha mashabiki wa Simba.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.