LEO Yanga ipo kazini uwanja wa Taifa kumenyana na Township Rollers mchezo wa awali wa Ligi ya Mabingwa.
Kwenye mchezo wa leo nyota wake sita watakosekana ambao ni pamoja na mlinda mlango Farouk Shikalo, Moustafa Seleman ambao wamechelewa kupata leseni.
David Molinga, mwili jumba yeye amechelewa kwenye usajili wa Caf.
Pia kuna hatihati ya kuwakosa mabeki wao watatu visiki ambao ni:
Juma Abdul
Kelvin Yondani
Andrew Vincent
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.