PATRICK Aussems, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kwa sasa mpango wake anauwekeza kwenye mchezo wa ngao ya jamii dhidi ya Azam FC utakaochezwa uwanja wa Taifa Julai 17.
Aussems amesema kuwa anatambua ushindani uliopo kwa sasa kwa timu zote Bongo hivyo anawaheshimu wapinzani wake ambao ni Azam FC.
“Kwa sasa tunajiandaa kucheza na Azam FC kwenye mchezo wetu wa ngao ya jamii, tumejipanga kufanya vizuri hivyo nina matumaini kila kiu kitakwenda sawa.
“Mashabiki wanahitaji kuona timu inapata ushindi ndivyo ilivyo na kwa wachezaji pia hivyo tutapambana kupata matokeo chanya mbele ya Azam FC,” amesema.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.