NAHODHA wa timu ya Waliooa FC wa Kampuni ya Global Group Publisher, Philip Nkini amechekelea udhamini wa nguvu kutoka kwa Saleh Jembe.
Waliooa FC wanatarajia kucheza mchezo wa kirafiki na wale ambao hawajaooa Ijumaa ya wiki ijayo.
Nkini amesema kuwa sapoti kubwa ambayo wameipata kutoka kwa Saleh Jembe ambayo ni ya kambi, malazi na chakula vitawapa nguvu ya kuwanyoosha wapinzani wao.
“Tunashukuru kwa udhamini mkubwa ambao tumeupata kutoka kwa Saleh Jembe, ni muda wetu kujipanga na kufanya makubwa kuonyesha thamani ya udhamini wake,” amesema.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.