Home Uncategorized WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA KUTUA BONGO LEO

WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA KUTUA BONGO LEO


WAPINZANI wa Yanga kimataifa kwenye mchezo wa awali unaotarajiwa kuchezwa Agosti 10 uwanja wa Taifa Township Rollers wanatarajia kutua Bongo leo.

Yanga itakuwa mwenyeji kwenye mchezo wa awali utakaochezwa uwanja wa Taifa.

Mchezo wa marudio unatarajiwa kuchezwa kati ya Agosti 23-25 ambapo Yanga itakwea pipa kuwafuata wapinzani wake kwa ajili ya mchezo wa marudio.

SOMA NA HII  BOSS SIMBA AZIDI KUKIMBIZA KATIKA ORODHA YA WATU TAJIRI AFRIKA, APANDA JUU