WAPINZANI wa Yanga kimataifa kwenye mchezo wa awali unaotarajiwa kuchezwa Agosti 10 uwanja wa Taifa Township Rollers wanatarajia kutua Bongo leo.
Yanga itakuwa mwenyeji kwenye mchezo wa awali utakaochezwa uwanja wa Taifa.
Mchezo wa marudio unatarajiwa kuchezwa kati ya Agosti 23-25 ambapo Yanga itakwea pipa kuwafuata wapinzani wake kwa ajili ya mchezo wa marudio.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.