KIKOSI cha Simba kilicho chini ya Kocha Mkuu, Sven Vanderbroeck leo kinatarajia kurudi Bongo kikitoe Mwanza baada ya kucheza mechi mbili za Ligi Kuu.
Mechi ya kwanza kwa Simba ilikuwa dhidi ya Mbao FC ilishinda mabao 2-1 na kwenye mchezo wa pili dhidi ya Alliance ilishinda mabao 4-1 mechi zote zilichezwa Uwanja wa CCM Kirumba.
Ushindi huo unaipa pointi sita kwa kadna ya ziwa na kujikita kileleni ikiwa na pointi 41 baada ya kucheza mechi 16.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.