KIUNGO Mshambuliaji Bernard Morrison anayekipiga ndani ya Yanga amepelekwa Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Tanzania Prisons FC Jeremia Juma.
Morrison alifanya hivyo wakati mpira ukiwa umesimama kwenye mchezo uliofanyika Februari 15, 2020 uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo ulikamilika kwa Yanga kugawana pointi moja na Prisons baada ya kuisha kwa sare ya bila kufungana.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.