TIMU ya Taifa ya Wanawake Twiga Stars imekamata nafasi ya pili kwenye michuano ya Mataifa ya Afrika Kaskazini (UNAF) yaliyokamilika jana nchini Tunisia.
Mabingwa wa mashindano hayo ambayo yalihusisha mataifa matano ikiwa ni pamoja na Morocco, Mauritania, Algeria na wenyeji Tunisia ni nchi ya Morocco.
Michezo na matokeo ya Twiga Stars katika mashindano hayo yapo namna hii:-Tanzania (7-0) Mauritania
Algeria (2 -3) Tanzania
Tanzania (2-3) Morocco
Tunisia (1-1) Tanzania
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.