Home Uncategorized HII HAPA TIMU AMBAYO NYOTA GUSTAVO WA BRAZIL ALICHEZA MECHI NYINGI

HII HAPA TIMU AMBAYO NYOTA GUSTAVO WA BRAZIL ALICHEZA MECHI NYINGI


LUIS Gustavo Dias ni kiungo raia wa Brazil anayekipiga ndani ya klabu ya Fenarbahce kwa sasa.

Kwenye maisha yake ya soka ni timu ya Vfl Wolfsburg alicheza mechi nyingi ambazo ni 109.

Ilikuwa ni 2013-2017 na alifunga mabao saba, pia alikipiga Bayern Munich 2011-13 ambapo alifunga mabao sita baada ya kucheza mechi 64.


Kwa sasa akiwa na timu yake ya Fenarbahce amecheza mechi 14 na kufunga mabao mawili wakati kwenye tmu yake ya Taifa amecheza mechi 41 akifunga mabao mawili.

SOMA NA HII  KWA USHINDANI ULIOPO KWA SASA KILA TIMU ISAJILI KIUFUNDI NA SIO BORA LIENDE