Home Uncategorized HIZI HAPA LEO 18 UWANJANI KUSAKA POINTI TATU

HIZI HAPA LEO 18 UWANJANI KUSAKA POINTI TATU


Leo Machi 4 ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara mambo yanazidi kupamba moto ambapo timu 18 zitakuwa kazini kwenye viwanja tisa kuzisaka pointi tatu namna hii:- 

Azam FC v Simba, Taifa.

Singida United v Coastal Union, Namfua.

Mwadui FC v Polisi Tanzania, Kambarage.

Biashara United v Prisons, Karume.


Ruvu v Alliance, Mabatini.

Mtibwa v Namungo, Gairo.

Kagera Sugar v Mbeya City, Kaitaba.

Lipuli v Ndanda, Samora.

KMC v JKT Tanzania, Uhuru


Mechi zote zitachezwa saa 10:00 jioni isipokuwa ile ya Azam v Simba itakuwa saa 1:00 usiku, Uwanja wa Taifa

SOMA NA HII  AZAM FC KUTESTI MITAMBO KUELEKEA MCHEZO WAO DHIDI YA KMC