JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa kichapo cha mabao 3-0 walichokipata kwenye mchezo wa Ligi Kuu Englad kimewavuruga.
Liverpool imetolewa na Chelsea kwenye mchezo wa Kombe la FA England kwa kichapo cha mabao 2-0 ilitoka kupokea kichapo cha mabao 3-0 mbele ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu England ambao ulikuwa ni wa kwanza kwao kupoteza msimu huu baada ya kucheza mechi 27 bila kupoteza.
Klopp amesema: “Tulivurugwa vibaya na Watford wakati tukichapwa mabao 3-0, hawa Chelslea ilikwa kawaida tu ila nafikiri tutarudi kwenye ubora wetu na kufanya kazi kama tulivyokubalina,”.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.