UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa kwa sasa ni wakati wa kila mmoja kuchukua tahadhari kuhusu Virusi vya Corona kuwa janga la dunia.
Akizungumza na Saleh Jembe, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuber Katwila amesema kuwa kwa sasa ni jukumu la kila mmoja kuchukua tahadhari ili kujilinda na Virusi vya Corona.
“Ni muhimu kila mmoja kuchukua tahadhari ya Virusi vya Corona, kanuni za afya ambazo zinatolewa zinapaswa zifuatwe kwani Virusi vya Corona vipo na afya ni muhimu kuuata,” amesema Katwila.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.