Home Uncategorized STAA WEST HAM AINGIA ANGA ZA CHELSEA NA MANCHESTER UNITED

STAA WEST HAM AINGIA ANGA ZA CHELSEA NA MANCHESTER UNITED

DECLAN Rice nyota wa West Ham ameingia kwenye anga za Manchester United pamoja  na Chelsea ambazo zinawania saini yake.

West Ham mwanzoni mwa msimu huu walisema kuwa hawana hesabu za kumuuza kiungo huyo.

Kwa sasa presha inaonekana imekuwa kubwa kutokana na timu nyingi kuyumba kiuchumi hivyo uwezekano wa kuuzwa ni mkubwa.

Timu nyingi duniani zimeyumba kiuchumi kutokana na janga la Virusi vya Corona.

SOMA NA HII  AJIBU AKATAA JEZI SIMBA