HILI hapa kosi lake la kwanza mshambuliaji wa Namungo, Relliants Lusajo ambaye inaelezwa kuwa amewekwa kwenye rada za mabosi wake wa zamani Yanga:- Juma Kaseja atakaa langoni.
Nicolas Wadada anayekipiga Azam FC yeye atakuwa beki wa kulia.
David Luhende wa Kagera Sugar yeye ni beki wa kushoto.
Erasto Nyoni wa Simba yeye ni beki wa kati.
Kevin Yondani wa Yanga yeye beki wa kati.
Frank Domayo huyo pichani anakipiga Azam FC atakuwa kiungo mkabaji.
Idd Kipwagile anakipiga Azam FC yeye atakuwa winga.
Clatous Chama anakipiga zake Simba atakuwa kiungo wa kati.
Meddie Kagere anakipiga Simba atakuwa mshambuliaji.
John Bocco anàkipiga Simba atakuwa mshambuliaji.
Bernard Morrison winga anayekipiga Yanga atakuwa ndani ya kikosi pia.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.