RAUL Jimenez, mshambuliaji wa Klabu ya Wolves yupo kwenye hesabu za Kocha Mkuu wa Tottenham Hotspur, Jose Mourinho anayemtaka ndani ya kikosi chake.
Nyota huyo wa Wolves raia wa Mexico mwenye miaka 29 amemvutia Mourinho ambaye anaamini kuwa atakuwa msaada mkubwa ndani ya kikosi chake hasa kwa nafasi ya utupiaji mabao.
Mourinho, anaamini kuwa atakuwa na pacha matata akiungana na mshambuliaji wake Harry Kane, huku kigezo cha umri kuwa mkubwa kikitajwa kuwa kitapunguza gharama ya kumpata.
Ametupia jumla ya mabao 22 akiwa na pasi 10 za mabao akiwa amecheza jumla ya mechi 44 msimu huu Kwenye mashindano yote kiujumla.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.