Home Uncategorized MATOKEO YA MECHI ZA LEO, VPL

MATOKEO YA MECHI ZA LEO, VPL

Matokeo ya mechi mbili za leo Juni 13 za Ligi Kuu Bara kwenye viwanja viwili tofauti:-

 Mwadui FC imekubali kuchapwa bao moja kwa bila na Yanga Uwanja wa Kambarage. Bao limefungwa na Balama Mapinduzi dakika ya sita

Coastal Union iliyo chini ya Kocha Mkuu, Juma Mgunda imelazimisha sare ya kibabe ya kufungana mabao  2-2 na Namungo FC, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

SOMA NA HII  YANGA YAMVUTA KIKOSINI NYOTA HUYU WA MTIBWA SUGAR