Home Uncategorized RATIBA YA LEO JUNI 14, LIGI KUU BARA

RATIBA YA LEO JUNI 14, LIGI KUU BARA

LEO Juni 14 kuna mechi mbili za Ligi Kuu Bara zitachezwa viwanja viwili tofauti kushuhudia ushindani.

Miguu ya wanaume 44 itakuwa kazini kusaka pointi tatu muhimu namna hii:- ni Azam v Mbao, Uwanja wa Azam Complex majira saa 1:00.

Simba v Ruvu Shooting, Uwanja wa Taifa, Majira ya saa 10:00 jioni.

SOMA NA HII  MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA