TIMU ya Azam FC imepigwa faini ya shilingi laki tano (500,000) kwa kosa la wachezaji na maofisa wa timu hiyo kuingia uwanjani kwa kupitia lango tofauti na lililoandaliwa.
Taarifa inasema kuwa Azam FC walidai kwamba walizuiwa kuingia kupitia mlango elekezwa katika mechi iliyochezwa Juni 23, 2020 Uwanja wa Karume Mkoani Mara.
Adhabu hii imetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 14(49) kuhusu taratibu za mchezo.
Mechi hiyo ilikamilika kwa Biashara FC kutoshana nguvu ya kufungana bao 1-1 na Azam FC.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.