KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemfungua miaka miwili aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael kujihusisha na masuala ya soka Tanzania.
Mbali na kufungiwa miaka miwili pia anatakiwa kulipa faini ya Shilingi milioni 8.
Yote haya ni kutokana na makosa yake ya ubaguzi pamoja na uchochezi ambayo aliyafanya baada ya mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Lipuli uliochezwa Julai 26 Uwanja wa Samora Iringa.
Eymael kwa kosa hilo alifutwa rasmi kazi na Yanga, Julai 27 na kwa sasa yupo zake Ubelgiji.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.