CLATOUS Chama, kiungo mshambuliaji wa Simba leo Agosti 3 amekabidhiwa zawadi ya Shilingi milioni moja pamoja na tuzo ya mchezaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara Tanzania.
Tuzo hiyo alipewa na wadhaminni wakuu wa Klabu ya Simba, SportPesa ambao waliendesha mchakato mzima wa kusaka tuzo kwa wachezaji wao.
Chama amesema kuwa fedha hizo zote anazitoa kwa ajili ya yatima kwa kuwa wana mahitaji makubwa kuliko yeye ambaye kwa sasa anaendelea kupambana.
Ndani ya Ligi Kuu Bara, Chama alifunga mabao mawili na pasi mbili za mabao kati ya 78 ambayo ymaefungwa na Simba msimu wa 2019/20.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.