HIZI hapa mechi tano za mwanzo kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba msimu wa 2020/21:-
Ihefu FC vs Simba SC, Septemba 6, 2020, Uwanja wa Sokoine.
Mtibwa Sugar vs Simba SC,Septemba 12, 2020, Uwanja wa Jamhuri-Morogoro.
Simba vs Biashara United, Septemba 20, 2020, Uwanja wa Mkapa, Dar.
Simba v Gwambina FC, Septemba 26, 2020, Uwanja wa Mkapa, Dar.
JKT Tanzania vs Simba, Oktoba 4, 2020, Uwanja wa Jamhuri-Dodoma.