Home Uncategorized MANULA AWABURUZA MGORE NA BAROLA, ASEPA NA TUZO YAKE

MANULA AWABURUZA MGORE NA BAROLA, ASEPA NA TUZO YAKE

MLINDA mlango namba moja wa Simba, Aishi Manula amechaguliwa kuwa Golikipa Bora wa Msimu wa 2019/20.
Tuzo imepokelewa na Mkurugenzi wa Wanachama na Mashabiki, Hashim Mbaga.


Manula alikuwa akipambana na Nourdine Barola wa Namungo FC pamoja na Daniel Mgore wa Biashara United.

Kwa msimu wa 2019/20 Manula amekiongoza kikosi cha Simba kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara huku akijikusanyia jumla ya clean sheet 17.  
SOMA NA HII  POLISI TANZANIA WAIPIGA MKWARA HUU YANGA