NYOTA wanne wanaokipiga ndani ya Klabu ya Yanga wamejumuishwa kwenye orodha ya wachezaji 25 wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambayo itaingia kambini Oktoba 5 kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi.
Nyota hao ni hawa hapa:-
Metacha Mnata yeye ni kipa.
Bakari Mwamnyeto yeye ni beki.
Ditram Nchimbi yeye ni mshambuliaji.
Feisal Salum yeye ni kiungo.