UWANJA wa King Power, mchezo wa Ligi Kuu England wababe wawili wametoshana nguvu ndani ya dakika 90 kwa kufungana mabao 2-2.
Kipindi cha kwanza:-
Marcus Rashford dakika ya 23 Goal likasawazishwa na Harvey Barnes dakika ya 31.
Kipindi cha pili:- Bruno Fernandes dakika ya 79 Goal likasawazishwa na Jamie Vardy dakika ya 85.
FT: Leicester City 2-2 Manchester United