Dakika ya 41 Ndemla anafanya jaribio nje ya 18 linakwenda juu ya lango
Dakika ya 33 Goooooal John Bocco
Dakika 30 Mbeya City wanaanua majalo
Dakika ya 28 Mbeya City wanapiga kona moja sawa na Simba zote hazijawa na faida
Dakika ya 22 Chama anapiga faulo haizai matunda inaanuliwa na mabeki.
Dakika ya 21 Mpoki Mwakinyuke anaonyeshwa kadi ya njano.
Dakika ya 20 kipa wa Mbeya City Lamek anaokoa hatari ndani ya 18
KIPINDI cha Kwanza Uwanja wa Sokoine
Mbeya City 0-0 Simba
Dakika 15 za mwanzo zimekamilika kwa timu zote kutoshana nguvu ndani ya Uwanja wa Sokoine.