Home Uncategorized VPL: MBEYA CITY 0-1SIMBA

VPL: MBEYA CITY 0-1SIMBA

 

Dakika ya 41 Ndemla anafanya jaribio nje ya 18 linakwenda juu ya lango
Dakika ya 33 Goooooal John Bocco

Dakika 30 Mbeya City wanaanua majalo

Dakika ya 28 Mbeya City wanapiga kona moja sawa na Simba zote hazijawa na faida
Dakika ya 22 Chama anapiga faulo haizai matunda inaanuliwa na mabeki.

Dakika ya 21 Mpoki Mwakinyuke anaonyeshwa kadi ya njano.


Dakika ya 20 kipa wa Mbeya City Lamek anaokoa hatari ndani ya 18

KIPINDI cha Kwanza Uwanja wa Sokoine 


Mbeya City 0-0 Simba


Dakika  15 za mwanzo zimekamilika kwa timu zote kutoshana nguvu ndani ya Uwanja wa Sokoine. 

SOMA NA HII  YANGA YATOA MSIMAMO KWA CARLINHOS