UWEZO wake uliojificha kwenye miguu yake unarekodi ya kubadili upepo hata akianzia benchi huwa anakuwa bora,alifanya hivyo mara mbili mbele ya Geita Gold na Simba na mechi zote hizi aliweza kutoa pasi za mabao.
Ni Tepsi Evance kiungo mshambuliaji wa Azam FC ambaye ni mzawa mwenye pasi nyingi za mwisho ambazo ni 4 na amekuwa kwenye kiwango makini ndani ya timu hiyo.
Kiungo huyo amefunga mabao mawili kwenye ligi na ni aliwafunga Ruvu Shooting bao moja na Prisons pia aliwafunga bao moja.
Kwa mguu wa kulia katupia bao 1 na mguu wa kushoto bao 1 akiwa nje ya 18 katupia bao 1 na akiwa ndani ya 18 katupia bao 1.
Pasi 4 za mabao
Pasi 1 mbele ya Geita Gold ndani ya 18
Pasi 1 mbele ya Simba nje ya 18
Pasi 1 mbele ya Prisons nje ya 18
Pasi 1 mbele ya Dodoma Jiji ndani ya 18
Miguu ya pasi
Mguu wa kulia pasi 2 za mabao
Mguu wa kushoto pasi 2 za mabao
Mitaa ya pasi
Pasi 2 nje ya 18
Pasi 2 ndani ya 18
Alizoanza kikosi cha kwanza
Kagera Sugar
Mbeya City
Ruvu Shooting
Mbeya Kwanza
Tanzania Prisons
Dodoma Jiji
Biashara United
Coastal Union
Polisi Tanzania