Goli la kwanza alilofunga Mshambuliaji wa Yanga SC, Fiston Mayele kwenye mchezo dhidi ya Rivers United limechaguliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) kuwa ndilo bora la wiki kati ya magoli yote yaliyofungwa mechi za raundi ya kwanza robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Kwenye mchezo huo, Mayele aliweka kambani magoli mawili ambapo la kwanza ndilo lililoshinda. Goli hilo alipokea asist kutoka kwa Kapteni Bakari Mwamnyeto kama ilivyokuwa kwa goli la pili.
hawa yanga wana shida gani ssa mbona.wanaaibusha nchi
hahahahaha
wanatuabisha sna yanga kwann lakini migogoro shida iko wap au.mwekezaji hana hela zakutisha atupishe na yanga yetu