Home Habari za michezo YANGA WASANUKIA MTEGO HUU WA AL MAREIKH

YANGA WASANUKIA MTEGO HUU WA AL MAREIKH

Ofisa Habari wa Yanga, Alikamwe amedai kuwa wapinzani wao Al Merrikh wameanza kuwasifu kuwa Wananchi wanaogopeka Afrika wao wamesoma Cuba wanajua huo ni Mtego

“Tumesikia kauli za Kocha wa Al-Merrikh anasema kuwa Young Africans inaogopeka Afrika. Sisi tumesoma Cuba, tunamwelewa, hawezi kutuchota, tutauchukulia mchezo wetu wa pili kwa umakini mkubwa.

Amesema pia; “Wanakuja kufunguka hapa, kwetu sisi ni taarifa njema kwa sababu mnara haukusoma Rwanda, hivyo tukipishana nao itakuwa fursa ya kusimamisha mnara.”

SOMA NA HII  YANGA HALI TETE LIGI YA MABINGWA ALLY KAMWE ATOA KAULI TATA