Home Habari za michezo UNAAMBIWA SHABIKI AKIMBIA OFISI YAKE NA KUHAMA NYUMBA KISA GOLI TANO ZA...

UNAAMBIWA SHABIKI AKIMBIA OFISI YAKE NA KUHAMA NYUMBA KISA GOLI TANO ZA YANGA

Shabiki wa Simba SC, anayejiita ‘King Laudit Mavugo’ kutoka Mbinga Ruvuma kabla ya Derby ya Kariakoo ya Novemba 5, 2023, aliahidi kutoa Kilo moja ya mchele kwa kila shabiki wa Yanga kama timu yake ya Simba SC ingefungwa na Yanga SC.

Baada ya Simba SC kufungwa magoli 5 – 1 na Yanga SC, mashabiki zaidi ya (200) wa Yanga SC walikwenda dukani kwake wakihitaji bidhaa hiyo aliyoahidi.

Mkuu wa Wilaya ya Mbinga, Aziza Mangosongo ndiye aliyemuokoa ‘mwamba’ huyo na masaibu ya ahadi yake baada ya kuagiza Jeshi la Polisi kumsaidia.

SOMA NA HII  YANGA KUCHEZA NA MIAMBA HAWA ROBO...KIGOGO AKWEA PIPA KUELEKEA MISRI