admin
WACHEZAJI WA YANGA WATAKAOPUUZIA PROGRAM ADHABU INAWAHUSU
CHARLES Mkwasa, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wanawafuatilia wachezaji amba hawatafuata program waliyoachiwa adhabu itawahusu.Benchi la ufundi la timu hiyo chini ya Kocha...
KIWANGO CHA LUIS CHAMFANYA MUSA MGOSI KUSEMA HAYA..!!
NAHODHA wa zamani wa Simba ambaye ni miongoni mwa wachezaji waliojenga heshima Msimbazi, Musa Hassan ‘Mgosi’ amesema winga Luis Miquissone anaitendea haki jezi yake.Katika...
YANGA YAUKATIA TAMAA UBINGWA WA LIGI KUU BARA MAZIMA
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa nafasi yao ya kutwaa ubingwa ni ndogo kutokana ushindani uliopo ndani ya Ligi Kuu Bara huku...
MANE ASHAURIWA KUONDOKA LIVERPOOL
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Klabu ya Leicester City, Diomansy Kamara amemshauri nyota wa Liverpool, Sadio Mane kusepa ndani ya klabu hiyo ili kupata changamoto...
KARIA AITAJA SERIKALI KUHUSU HATMA YA LIGI KUU
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema kuendelea kwa Ligi Kuu na ligi nyingine kutategemea maelekezo ya Serikali kuhusu usalama na...
KUMBE ILE SARE YA MABAO 3-3 YA YANGA NA SIMBA, SIMBA...
BEKI wa Polisi Tanzania, Luccian William, 'Gallas' ambaye aliwahi kukipiga ndani ya Klabu ya Simba amefichua kuwa kwenye mechi waliyopindua mabao 3-3 mbele ya...
HUYU HAPA KIUNGO MPYA WA SIMBA KUTOKA CONGO..ANAKIPIGA AS VITA
SIMBA wameanza harakati za kumnasa kiungo nyota wa AS Vita Club ya DR Congo, Mukoko Tonombe, gazeti la Mwanaspoti limebaini.Hata kocha wa Vita, Florent...
KUHUSU KIWANGO CHAKE KUSHUKA..KICHUYA AMEFUNGUKA HAYA..!!
WINGA wa Simba, Shiza Kichuya alisajiliwa na timu hiyo wakati wa usajili wa dirisha dogo na mpaka sasa amecheza michezo miwili dhidi ya JKT...
HUYU NDIYE AJIBU WA SIMBA TOFAUTI YAKE NA YULE WA YANGA
Ibrahim Ajibu, kiungo huyu mshambuliaji wa Simba alikuwa na wakati mzuri alipokuwa ndani ya Yanga msimu wa 2018/19 tofauti yake na yule wa Yanga...
ALIYEZITESA SIMBA NA YANGA KWA SASA ANAPATA TABU KWELI
KASSIM Khamis, kiungo anayekipiga Azam FC anapitia wakati mgumu kwa sasa ndani ya klabu yake mpya hiyo.Simba na Yanga zilikuwa kwenye mvutano mkubwa wa...